Polisi waanza uchunguzi tukio la mauaji Kigoma
Watu sita wa familia moja wakazi wa kitongoji cha Kakonkwe kijiji cha Kiganza wilayani Kigoma Mkoa wa Kigoma, wameuawa na watu wasiojulikana kwa kuwapiga na kitu chenye ncha kali vichwani na mwilini na kumjeruhi mtoto wa miaka minne na kumwacha hai mtoto mwingine wa miezi mitatu.