Mabosi wa Azam FC wakiwa kiungo mkabaji, Isah Ndala kutoka Plateau United ya kwao, Nigeria
Uongozi wa klabu ya Azam FC imeendelea kushusha vifaa, baada ya kumtangaza mchezaji watatu wa Kimataifa, ikiwa ni muendelezo wa usajili kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu na michuano ya Kimataifa msimu wa 2022/23.