Ziara ya Rais Samia Falme za Kiarabu zazaa matunda

Kulia ni Rais Samia Suluhu Hassan, na kushoto ni wawekezaji kutoka nchi za Falme za Kiarabu

Mkoa wa Njombe umepokea wawekezaji kutoka Falme za Kiarabu, wenye lengo la kuwekeza kwenye uzalishaji wa Parachichi, Macademia nuts pamoja na uwekezaji katika sekta ya utalii, yakiwa ni matunda ya filamu ya The Royal Tour iliyofanywa na Rais Samia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS