Ziara ya Rais Samia Falme za Kiarabu zazaa matunda
Mkoa wa Njombe umepokea wawekezaji kutoka Falme za Kiarabu, wenye lengo la kuwekeza kwenye uzalishaji wa Parachichi, Macademia nuts pamoja na uwekezaji katika sekta ya utalii, yakiwa ni matunda ya filamu ya The Royal Tour iliyofanywa na Rais Samia.