Mitandao ya kijamii inavyolipa Tanzania

Mitandao maarufu zaidi Tanzania ni Facebook, Whatsapp, Instagram, Youtube, TikTok, Snapchat na Twitter.

Leo ni siku ya Mitandao ya Kijamii Duniani ambayo huadhimishwa Juni 30 kila mwaka tangu mwaka 2010. Mitandao ya kijamii hutumika na kundi kubwa la watu katika jamii kama sehemu ya mawasiliano, biashara na elimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS