Kundi la tatu la wananchi laagwa Ngorongoro

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana, akiagana na wananchi Ngorongoro

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana, leo Juni 30, 2022 ameshiriki zoezi la  kuaga kundi la tatu la Kaya zaidi ya 25 za wananchi wanaohama kwa hiari yao kutoka katika hifadhi ya Ngorongoro kwenda Kijiji cha Msomera Handeni mkoani Tanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS