Wanafunzi zaidi ya 70 wanusurika kifo Mwanza
Zaidi ya wanafunzi 70 wa shule ya sekondari ya wavulana ya Bwiru iliyopo Pasiansi Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza, wamenusurika kifo baada ya bweni walilokuwa wanalala kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo Juni 30, 2022 na kuunguza vitanda, magodoro, nguo pamoja na vifaa vyao vya shule