Wanaojifanya walimu na waganga wadakwa Dar

Kanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu 25 kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo uhalifu kwa njia ya mtandao na biashara haramu ya ngono, akiwemo mtu maarufu aitwaye Kigegi anayetuhumiwa kwa wizi wa kimtandao kwa kujifanya mwalimu na mganga

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS