Serikali kushirikiana na mashirika binafsi
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hasaan itaendeleza kukuza na kutoa ushirikiano kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikari (NGO) ili kuleta tija na maendeleo kwa jamii ya Watanzania.