Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana
Wizara ya Maliasili na Utalii imepongezwa kwa jitihada mbalimbali inazozichukua katika kukabiliana na Wanyama wakali na waharibifu katika makazi na mashamba ya wananchi wanaopakana na maeneo ya hifadhi