Bale kucheza pamoja na Chiellini

Gareth Bale akishangilia bao alipoifungia timu yake ya Taifa ya Wales.

Nahodha wa Wales,Gareth Bale amekubali kujiunga na Klabu ya Los Angeles Fc akiwa mchezaji huru. Nyota huyo amejiunga na timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani MLS baada ya Mkataba na Mabingwa wa Ulaya Klabu ya Real Madrid.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS