Filamu ya Royal Tour yaoneshwa Korea Kusini
Bodi ya Utalii Tanzania kwa kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania nchini Korea Kusini imetumia maonesho ya Seoul International Tourism Expo (KOTFA 2022), kuonesha Makala ya The Royal Tour Tanzania kwa Mawakala wa utalii pamoja na Waandishi wa habari za utalii katika soko ya utalii nchi hiyo.