Haya ndiyo majina ya majambazi waliouawa Goba leo

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro

Majambazi watatu wameuawa baada ya kupambana na Jeshi la Polisi wakiwa katika harakati za kutaka kupora katika duka, eneo la Goba Dar es Salaam, pambano ambalo lilipelekea askari mmoja kujeruhiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS