Rasmi Biashara yashuka daraja kikosi cha Biashara United ya Musoma. Biashara United imeshuka daraja baada ya kufungwa magoli 4-1 na kwa Azam FC. Biashara imeungana na Mbeya Kwanza FC kuanza kuitafuta njia ya kurudi Ligi Kuu Tanzania Bara. Read more about Rasmi Biashara yashuka daraja