Taasisi ya Ruge Mutahaba kufadhili vijana wabunifu

Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa Taasisi ya Ruge Mutahaba Georgia Mutagahywa

Vijana wa Kitanzania zaidi ya 5,000 wenye vipaji na wabunifu wanatarajiwa kupata ufadhili wa masomo kutoka kwenye Taasisi ya Ruge Mutahaba, itakayozinduliwa rasmi usiku wa Jumapili ya Juni 26, 2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS