Ujenzi wa ofisi ya msajili wa vyama vya siasa

Naibu Katibu Mkuu  Ofisi ya Waziri Mkuu  anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu Bwa. Kaspar Mmuya amepongeza maendeleo ya ujenzi wa ofisi  za  msajili wa vyama vya siasa  nchini zinazojengwa eneo la Kilimani  Jijini Dodoma zitakazogharimu  zaidi ya shilingi bilioni 20.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS