Mane amejiunga na Bayern Munich mpaka 2025

Sadio Mane amesaini miaka 3 Bayern Munich

Mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal Sadio Mane amekamilisha usajili wa kujiunga na Bayern Munich ya Ujerumani akitokea Liverpool ya England kwa ada ya uhamisho ya pauni million 35 ambayo ni zaidi ya Billion 99 (kwa pesa ya Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS