Akamatwa kwa kuwatumia wanafunzi kufukua kaburi
Tanda Thadeo ambaye ni mkazi wa Sumbawanga mkoani Rukwa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kuwatumia wanafunzi wa Darasa la sita shule ya msingi Kasisiwe iliyopo Manispaa ya Sumbawanga kushiriki zoezi la kufukua kaburi la mtoto ili afufuliwe na baba yake kwa kuwalipa shilingi elfu kumi