DC Kigoma aagiza uchunguzi ujenzi wa Zahanati

Mkuu wa wilaya ya Kigoma Ester Mahawe ameagiza mamlaka ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Kigoma, kufanya uchunguzi katika mradi wa Zahanati ya kijiji cha Samwa kata ya Kidakhwe wilayani Kigoma kufuatia mradi huo kutumia gharama kubwa na kupitiliza muda wa utekelezaji 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS