Mbunge ataka kope na kucha ziongezewe kodi Mbunge wa Singida Kaskazini, Ramadhan Ighondo Mbunge wa Singida Kaskazini Ramadhan Ighondo, ameishauri Wizara ya Fedha na Mipango, kuongeza kodi kwenye kucha na kope za bandia kama walivyoongeza kwenye mawigi. Read more about Mbunge ataka kope na kucha ziongezewe kodi