Wahasibu, Serikali kuwasaidia wamachinga
Ili kuyainua makundi maalumu ya machinga na vijana wa Bodaboda serikali kupitia Wizara ya maendeleo ya Jamii imeingia makubaliano na Chama cha wahasibu TAA kufanya usimamizi na kutoa mafunzo kwa makundi haya ili kupitia wataalamu hao waweze kufahamu misingi ya kutunza fedha