Serikali imeombwa kuondoa kodi ya taulo za kike

wanafunzi wa Turiani wakifurahi baada ya kukabidhiwa taulo za kike za mwaka mzima.

Kampeni ya Namthamini ya East Africa Television na East Africa Radio katika kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika Duniani, leo ilifika katika shule ya sekondari Turiani kuzungumza na wanafunzi na kugawa taulo za kike.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS