Yanga yajiondoa shindano la nani zaidi

Msemaji wa Yanga Haji Manara

Uongozi wa klabu ya Yanga umethibitisha kuwaandikia barua waandaji wa shindano la Nani Zaidi, kujiondoa rasmi kwenye shindano hilo linalohusisha mashabiki wa vilabu vya Simba na Yanga kuchangia vilabu vyao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS