Chalinze Modern Islamic yateketea

Moto mkubwa umezuka ghafla na kuteketeza moja ya bweni lililopo katika shule ya msingi ya Chalinze Modern Islamic iliyopo Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani na kuathiri miundombinu ya bweni hilo ikiwemo vifaa vya kusomea na nguo za wanafunzi shuleni hapo 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS