Yanga SC hatujazoea kushindwa - Haji Manara

(Afisa Msemaji wa Yanga SC, Haji Manara)

Klabu Yanga imewataka mashabiki wa klabu hiyo kujitokeza kwa wingi kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Juni 15, 2022 siku ya Jumatano dhidi ya klabu ya Coastal Union ya Tanga utakaochezwa kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS