"Hakuna Askari aliyefukuza mwananchi"- Serikali

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa.

Serikali imesema kwamba hakuna Askari yeyote aliyekweda kumfukuza mwananchi wa Loliondo kwenye eneo lake, bali kinachofanyika ni zoezi la uwekaji wa mipaka kati ya hifadhi na eneo la wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS