"Hakuna Askari aliyefukuza mwananchi"- Serikali Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa. Serikali imesema kwamba hakuna Askari yeyote aliyekweda kumfukuza mwananchi wa Loliondo kwenye eneo lake, bali kinachofanyika ni zoezi la uwekaji wa mipaka kati ya hifadhi na eneo la wananchi. Read more about "Hakuna Askari aliyefukuza mwananchi"- Serikali