Harmonize vs Alikiba uwanja wa taifa

Rais wa Kondegang, Harmonize ametangaza kushiriki mechi ya hisani ya SAMAKIBA inayokutanisha timu ya nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta na mwanamziki Alikiba kwa ajili ya kukusanya fedha za kusaidia watu wenye uhitaji katika jamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS