Watanzania watakiwa kujipanga mradi wa gesi Asilia

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka watanzania kujipanga ili kuweza kuhudumia mradi wa uchakataji wa gesi asilia na kupelekea mapato kubaki nchini na kuchangia katika ukuaji wa uchumi wetu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS