Nimezaliwa mwaka 1992 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 1 katika familia ya watoto 5
Ninaishi na BABA na MAMA
Mtaani kwangu najulikana kwa KUDANCE
Mimi nimesoma mapaka FORM 4
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) KUJISHUGHULISHA
Mafanikio katika Fani:
Mafanikioya kudansi kwa kweli sio mbaya na wala sio mazuri kwa wakati tuliyonayo hivi sasa kwasababu hatuna viongozi wa kutuongoza
Year: