Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Utalii, Xiana Mendez akiwa na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba

Picha ya Mohbad na kufukuliwa kwa mwili wake

Picha ya Ramadhan Brothers ndani ya Americas Got Talent

Mkuu wa mkoa wa Geita, Martin Shigella (kushoto) akiteta jambo na Meneja Mwandamizi wa GGML anayeshughulia mahusiano ya jamii, Gilbert Mworia (katikati) katika viwanja vya Bombambili Geita kunakofanyika maonesho ya teknolojia ya madini Geita. Kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahara Michuzi.

Kushoto ni Mohbad na mtoto wake, kulia ni mtoto wa Rais wa Nigeria

Picha ya msanii Feza Kessy

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na wananchi wa Kata ya Mbuga, Jimbo la Kibakwe, Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa