Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Utalii, Xiana Mendez akiwa na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba

Mkuu wa mkoa wa Geita, Martin Shigella (kushoto) akiteta jambo na Meneja Mwandamizi wa GGML anayeshughulia mahusiano ya jamii, Gilbert Mworia (katikati) katika viwanja vya Bombambili Geita kunakofanyika maonesho ya teknolojia ya madini Geita. Kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahara Michuzi.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na wananchi wa Kata ya Mbuga, Jimbo la Kibakwe, Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Jumanne Sagini

Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Terry Strong (kulia) akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa kitengo cha huduma za dharura cha kampuni hiyo pindi waliposhiriki maonesho hayo mwaka jana. Kushoto ni Makamu Rais wa AngloGold Ashanti- GGML anayesimamia miradi endelevu kwa upande wa Ghana na Tanzania, Simon Shayo.