Business

Katibu Mkuu, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara Kuu Afya, Prof. Abel Makubi wakati akizungumza na wazabuni wa Dawa, Vifaa Tiba na Vitendanishi vya maabara nchini.

Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo.

Mtaalamu wa masuala kidigitali (Digital Specialist) Bi Lilian Flavian (Katikati) akipokea zawadi ya kinywaji cha Konyagi yenye muonekano wa nembo ya mwanamke badala ya nembo iliyoezoeleka ya mwanaume shupavu ikiwa ni ishara ya kutambua weledi, ujasiri na taaluma za Wanawake walio na mchango chanya kwenye jamii. Chupa hizo maalum zina nembo yenye mwanamke aliyenyanyua mikono juu na ujumbe wa kuwatakia waTanzania heri ya siku ya Wanawake Duniani ambayo huadhimishwa Machi 8 kila mwaka. Wanaomkabidhi zawadi ni wawakilishi kutoka kampuni ya Tanzania Distilleries Limited watengenezaji wa kinywaji hicho.

Baadhi ya wakazi wa Mbezi Juu waliopata mafunzo ya lishe kutoka Meridian Bet

Meridian Bet wakikabidhi kiasi cha shilingi milioni moja kwa Nadia Faustine, mama wa mtoto mwenye kansa ya macho

Pichani Kijana Shabani Salum (34) Mkazi wa Chanika Jijini Dar es salaam aliyekuwa mchibaji wa madini baada kupata ugonjwa ambao bado haujajulikana.

Waziri wa Kilimo Profesa Adolf Mkenda

Waziri wa Viwanda na Biashara, Geoffrey Mwambe

Mmoja ya wakatisha tiketi kielektroniki Adam Suleiman akimpatia maelekezo abiria katika kituo cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.

Kaimu meneja wa mamlaka ya mapato(TRA)wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Lewis Charles.

Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi kutoka TRA, Richard Kayombo

Kampeni ya Patapata inayoendeshwa na kampuni ya Tigo