Nimezaliwa mwaka 1997 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM Mimi ni mtoto wa KHALFAN katika familia ya watoto 4 nina DADA 1 Ninaishi BABA na MAMA Mtaani kwangu najulikana kwa B.BOY Mimi nimesoma mpaka FORM 4 Social Media: MAVUNO CREWYear: 2015