Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Panya asababisha hasara ya dola milioni 190

Thursday , 13th Sep , 2018

Migahawa maarufu nchini China imepoteza kiasi cha Dola milioni 190 katika thamani ya soko baada ya mama mmoja mjamzito kukuta panya aliyekufa kwenye supu kwenye moja ya migahawa hiyo.

Pichani mnyama Panya.

Hisa za migahawa hiyo ya Hotpot imeporomoka vibaya, baada ya picha za panya huyo aliyekufa akitolewa kwenye bakuli la supu kusambaa kwenye mitandao ya kijamii ambapo mgahawa wake katika Jimbo la Shandong, umefungwa kwa muda.

Kwa mujibu wa mtandao wa habari wa Kankan News, mgahawa huo ulimpa mama huyo Dola za Kimarekani 729 kama fidia kufuatia tukio hilo, lakini alizikataa.

Mwanamke huyo mjamzito ambaye alikwenda katika mgahwa huo pamoja na familia yake mnamo Septemba 6 alimuona panya aliyekufa wakati tayari akiwa amekula vipande kadhaa vya nyama kwenye supu.

Taarifa zaidi zinasema mmoja wa wafanyakazi wa mgahawa huo alimshauri mume wa mama mjamzito atoe mimba kama ana wasiwasi kuhusu afya ya kichanga chake na kuahidi kumpa fedha kwa ajili ya kuavya mimba yake.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine