Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ajichimbia kaburi mwenyewe

Sunday , 20th Aug , 2017

Mzee mmoja (88) huko Kaunti ya Nyeri kijiji cha Karagoto amefariki na kuzikwa jana kwenye kaburi aliloliandaa kwa takribani miaka 30 huku akiwa ameacha sintofahamu kwa familia na majirani zake juu ya misimamo pamoja na wosia wake.

Akizungumza na chombo cha habari huko nchini Kenya jirani wa Mzee huyo amesema kuwa Marehemu kabla ya kufikwa na umauti alikuwa ameshajiandalia kaburi lake huku akiacha wosia wa kutozikwa sehemu nyingine yoyote zaidi ya kwenye kaburi alilolijenga kwa miaka 30 pia kuktaka kutopelekwa katika vyumba vya kuhifadhia maiti.

Kwa mujibu wa jirani  huyo alimtaja Mzee huyo aliyefahamika kwa jina la Mwendazake Stanley Muryuki kwamba alikuwa ni mtu aliyesimamia misimamo yake hata baada ya kuumwa kwa muda mrefu hakutaka kwenda hospitali kwa madai kuwa Mungu afabnye apendavyo juu yake lakini siyo kupelekwa hospitali.

Mwendazake ambaye alikuwa muumini mzuri wa dhehebu la Katoliki aliacha wosia kwa familia yake kuwa endapo atafariki waombolezaji wote wapatiwe sahani ya chakula kabla ya kuondoka huku akiomba Padri aongoze mazishi yake na vijana wake wamlinde kwa muda usiopungua saa 24.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali