Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Anna Mghirwa amwaga chozi hadharani

Friday , 18th Aug , 2017

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghirwa ameshindwa kujizua na kumwaga chozi hadharani, alipokuwa akitoa hotuba yake kwenye uwanja wa ndege wa Kilimanjaro akiwapokea watoto Sadia, Doreen na Wilson.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghwira

Akisoma hotuba hiyo Anna Mghirwa aliwataka watoto hao kuwa mashuhuda wa matendo makuu ya Mungu, na kuwa fundisho kwa madaktari na manesi kwenye utendaji wao wa kazi, na kuwaonya kuhusu vitendo vya kuhujumu, kwani vinachangia kwa kiasi kikubwa upatikananji wa huduma duni za afya.

"Kwa watoto wetu Sadia, Wilson na Doreen naomba niseme kuwa Mungu anawapenda sana, ikawe heri maishani mwenu, na mkawe mashuhuda wa mapenzi na baraka za Mungu kwa wanadamu, ninasema kwa kulia na uchungu kama mama , na kama mzazi ninatambua, ninaomba watoto hawa wakawe ushuhuda kwa manesi na madaktari wetu wanaoiba dawa, wanaoiba dawa, wanalazimisha wagonjwa kununua huduma, inatia uchungu, inauma, ninaomba sana watotoi hawa wakawe alama ya utu, na uadilifu na uzalendo", alisikika mama Anna Mghirwa akisema kwa uchungu.

Leo watoto watatu Doreen, Sadia na Wilson wa shule ya Lucky Vicent ambao walinusurika katika ajali ya gari iliouwa wenzao 32, wamewasili nchini kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro, na kupokelewa na viongozi mbali mbali wa kitaifa akiwemo Mkuu wa mkoa wa Kilimanrao, Bi. Anna Mghwira. 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine