Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM yalia na uchonganishi wa mitando ya kijamii

Wednesday , 5th Dec , 2018

Chama Cha Mapinduzi kimewataka watumiaji wa mitandao ya Kijamii nchini kufanya hivyo katika namna ya kujenga na si kuwaundia kauli baadhi ya viongozi wake kwa lengo la kuwagombanisha na chama hicho.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Humphrey Polepole.

Taarifa iliyotolewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole imedai kuwepo kwa kurasa katika mitandao ya kijamii yenye jina la Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally na kudai ukurasa huo umetoa kauli ya kumbeza Spika Mstaafu, Pius Msekwa.

Aidha chama hicho kimedai kuwa kumekuwa na taarifa potofu juu ya kufanyika kwa mkutano kati ya maafisa wa chama hicho kutoka ofisi ndogo za CCM Lumumba Jijini Dar es salaam na waandishi wa habari.

"Kumekuwapo na akaunti ya mtandao wa twiter yenye jina la Bashiru Ally na inatoa kauli ambazo sio zake kwamba amemjibu Spika Mstaafu Pius Msekwa jambo hilo ni potofu," imesema taarifa hiyo

Aidha chama hicho imezitaka mamlaka husika kuwatafuta watu ambao wamekuwa wakitumia majina ya viongozi wake vibaya na kutaka kuhimiza matumizi mazuri ya mitandao ya kijamii kwa nia ya kupeana habari bila kuathiri usalama.

Hivi karibuni kupitia vyombo mbalimbali vya habari nchini Pius Msekwa alitoa kauli iliyoashiria kumkosoa Katibu Mkuu CCM, juu ya njia aliyoitumia kumuita kada wake Bernard Membe ili ajibu tuhuma zinazomkabili.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90