Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Diwani CHADEMA kutoa ushahidi kwa JPM

Friday , 19th Apr , 2019

Mwenyekiti wa Umoja wa Madiwani Kanda ya Serengeti kupitia CHADEMA, Emmanuel Ntobi,  amehoji suala la kuitwa kwenye Kamati ya Maadili ikiwa ni baada ya kuibua  ufisadi unaofanywa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga.

Rais Magufuli

Ntobi ambaye ni Diwani wa Kata ya Ngokolo ameitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Madiwani kutokana na taarifa alizozitoa mitandaoni ambazo zinahusisha ufisadi wa mamilioni kwenye ujenzi wa machinjio ya kisasa, ujenzi wa kituo cha afya na mradi wa viwanja katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.

Katika taarifa nyingine, Ntobi anadai kuwa Mkurugenzi aligoma kumlipa mkandarasi shilingi milioni 6 lakini kwa haraka sana Halmashauri ikalipa milioni 55 ambazo zilitoka kwenye akaunti ambayo Madiwani walikubaliana isiguswe.

Katika ukurasa wake Ntobi amesema kwamba, "Mhe Rais  Magufuli nipo tayari kutoa ushahidi wa ufisadi TAKUKURU ama chombo chochote. Lengo la Mkurugenzi ni kunifungia vikao si kushughulikia ufisadi".

Kikao hicho cha Maadili pamoja na Diwani Ntobi kinatarajiwa kufanyika tarehe 23 Aprili mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine