Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Gharama za umeme kupanda Lindi na Mtwara

Wednesday , 9th Mar , 2016

Wananchi wa mikoa ya Mtwara na Lindi wametakiwa kujiandaa na kupanda kwa gharama za kuvuta umeme majumbani (Service line) zitakazofikia kiasi cha sh. 177,000 kama maeneo mengine kutoka sh. 99,000 ya sasa.

Mafundi wakiwa katika mitambo ya Umeme

Akizungumza na East Africa Radio ofisini kwake, Mhandisi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoa wa Mtwara, Daniel Kyando, amesema punguzo hilo ilikua ni ofa maalumu ambayo ifikapo Machi 31 mwaka huu itafikia mwisho, hivyo watakohitaji kuunganishiwa umeme baada ya hapo watalipia gharama halisi.

Aidha, amewaondoa hofu wananchi hao kutokana na hali ya kukatika kwa umeme mara kwa mara inayoendelea na kudai kuwa hali hiyo inatokana na marekebisho ya miundombinu ikiwamo nguzo pamoja na matengenezo makubwa ya mtambo mmoja ambao uliharibika kutokana na kuanguka kwa nguzo.

Amesema, wananchi wasiwe na wasiwasi kwani huduma hiyo itarejea katika hali yake ya kawaida ndani ya wiki hii kwasababu vifaa vilivyokuwa vikihitajika kwa ajili ya matengenezo ya mtambo huo tayari vimewasili.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine