Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Hili ndilo hasa sote tunalitaka"- Rais Magufuli

Tuesday , 17th Jul , 2018

Rais Dkt. John Magufuli amefunguka na kudai nchi za Afrika zimeisaidia China kupata kiti katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa jambo ambalo limefanya taifa hilo kuwa na ushirikiano mzuri na kutoa mikopo isiyokuwa na masharti magumu.

Rais Dkt. John Magufuli

Dkt. Magufuli ametoa kauli hiyo leo Julai 17, 2018 wakati alipofungua mkutano maalum wa majadiliano kati ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) na vyama vya siasa vya nchi mbalimbali za Afrika unaofanyika kwa siku mbili Jijini Dar es Salaam na kusema anaishukuru CPC na vyama vyote vya Afrika kwa kuichagua Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mwenyeji wa mkutano huo ambao utatoa fursa ya majadiliano ya namna vyama vya siasa vitakavyosaidia serikali zao.

"Ni jambo la kufurahisha ni kwamba uhusiano wetu umejengwa kwenye misingi ya kuelewana na kuheshimiana, na ndio sababu misaada ya China kwetu imekuwa haiambatani na masharti magumu, hili ndilo hasa sote tunalitaka, ushirikiano ambao sote tunajiona tupo sawa na sote tunanufaika", amesema Rais Magufuli.

Aidha, Rais Magufuli licha ya mafanikio makubwa yaliyopatikana katika ushirikiano huu wa China na Afrika, bado kuna changamoto kubwa ya kukuza zaidi uhusiano katika masuala ya kiuchumi kwa kuhakikisha Afrika inauza bidhaa nyingi zaidi nchini China, China inaongeza uwekezaji barani Afrika hususani katika kilimo, viwanda na madini, na pia kukuza ushirikiano katika ujenzi wa miundombinu ya usafiri na umeme.

Kwa upande wa Mhe. Song Tao ameishukuru CCM kwa kuandaa mkutano huu mkubwa ambao utasaidia kujadiliana na kubadilishana uzoefu kati ya CPC na vyama vya siasa vya Afrika juu ya namna bora ya kuimarisha sera zake ili ziweze kuleta mabadiliko ya kiuchumi kama ambavyo CPC ilifanya.

Mtazame hapa chini Rais Magufuli akiongea mengine zaidi pamoja na fursa zilizotolewa na nchi hiyo kwa Tanzania.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali