Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwaongoza waombolezaji kuaga mwili wa Marehemu Joseph Muungai katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Novemba 10,2016
Ibrahim kutoka Vodacom (Kushoto) akiwa Dullah katika Planet Bongo iliyoruka LIVE kutoka Mabibo Hostel, akitangaza majina ya wasanii walioingia katika Tuzo za EATV
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangalla.
Rais Museven akiwa na Timu ya Taifa ya Uganda "The Cranes"
Mabingwa wa Afrika, Mamelod Sundowns
Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mufindi, Prof. Riziki Shemdoe (wa kwanza Kulia) akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Festo Mgina.
Wakulima wadogo wakiwa mashambani.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kigoma Ferdinand Mtui.
