Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

LHRC yamtaka Kikwete asitishe Bunge la Katiba

Wednesday , 17th Sep , 2014

Kituo cha Sheria na haki za bianadamu (LHRC) kimemtaka rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete kusitisha bunge maalumu la katiba badala ya kuendelea kusubiri mpaka ifikapo Oktoba 4 mwaka huu.

Rais wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.

Akiongea jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa maboresho na uwezeshaji wa LHRC Lulu Urio, amesema kuwa rais ana nafasi kikatiba kusimamisha Bunge la katiba, kuleta mwelekeo mpya wa mchakato wa katiba na kuleta maridhiano ya mapungufu yaliyoonekana hapo awali ambayo yaliondoa maridhiano baina ya wajumbe wa UKAWA na wajumbe wengine.

Hata hivyo Bi. Urio amesema ni vyema mwenyekiti wa Bunge la katiba akasitisha vikao vyake ili upatikane muafaka baina ya pande zote mbili zinazokinzana na kuongeza kuwa Rasimu ya katiba inatoa kipindi cha mpito cha miaka minne kabla ya kuanza kutumia katiba mpya.

Wakati huo huo, Makamu wa rais wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kutambua kuwa waandishi wa habari si adui hivyo basi wanapaswa kushirikiana nao.

Dk. Bilal ametoa kauli hiyo leo wakati akifungua mkutano wa mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria ambao hata hivyo jeshi la polisi halikuweza kuleta mwakilishi wake kutokana na kukabiliwa na operesheni maalum.

Aidha Dkt. Balal amesema kuwa vyombo hivyo vielimishane kuhusu mipaka na maeneo ya ushirikiano ili kuondoa tofauti na mifarakano miongoni mwa vyombo hivyo ambayo imekuwa ikijitokeza mara kwa mara

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine