Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lissu azungumzia kushambuliwa na CHADEMA

Thursday , 14th Feb , 2019

Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu amefunguka kuwa hakuna ukweli wowote kuwa chama chake kimehusika na shambulio dhidi yake kwani nyumba ile ina ulinzi na walinzi wameajiriwa na serikali.

Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu.

Lissu amesema kuwa kama kuna mwenye uwezo wa kuondoa walinzi lindoni muda wa kazi bila kujua walikuwa wapi na kwanini basi ndio atakuwa amehusika na shambulio hilo.

"Nimekaa eneo lile kwa zaidi ya miaka 7, CCTV Camera zipo na walinzi wapo siku zote sasa Waziri anapokanusha hili atueleze, nini kimetokea na Camera imeng'olewa lini na nani?", amehoji Lissu.

Lissu ameongeza kuwa, "kama Mbowe na CHADEMA wana uwezo wakuondoa Camera na walinzi katika eneo wanaloishi viongozi wa serikali basi watakuwa wamehusika wao, lakini hicho ni kitu ambacho hakiwezekani".

"Yale majengo yanalindwa massa 24 siku 7 za wiki, na hao walionishambulia walinifuata mpaka getini na hao walinzi wanaolinda lile geti siku nashambuliwa hawakuwepo, swali ni Je, nani aliyewaondoa?", ameongeza Lissu.

Jana akizungumza jijini Arusha Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amesema kuwa, “Lissu ndiye mlalamikaji wa kesi, inakuwaje mwenye kesi naye mpaka tuanze kulazimishana ili aje, mwanzoni tulidhani ni mgonjwa akipata nafuu atakuja kwenye kesi yake, tunamshuhudia kapata nafuu kaanza uzembe na uzururaji tunamtaka Lissu arudi nchini".

Lissu anaendelea na ziara zake barani Ulaya ambapo sasa hivi yupo nchini Marekani.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali