Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Malkia Elizabeth amtaja mrithi wake

Thursday , 19th Apr , 2018

Malkia Elizabeth wa Uingereza amemtaja mtoto wake wa kiume 'Prince Charles' kuwa huenda akawa mkuu wa jumuiya ya madola kwa miaka ijayo baada ya yeye kuachia ngazi.

Malkia Elizabeth ametoa kauli hiyo leo alipokuwa kwenye mkutano wa nchi za Jumuiya ya Madola (commonwealth) uliofanyika nchini Uingereza, ambapo Tanzania pia imehudhuria.

Akisoma hotuba yake kama mkuu wa Jumuiya hiyo Malkia Elizabeth amesema “ni matumaini yangu kwamba Jumuiya ya Madola itaendelea kutoa utulivu kwa kizazi kijacho, na kuamua kuwa siku moja Mwana Mfalme wa Wales ataendelea kubeba kazi muhimu iliyoanzishwa na baba yangu mwaka 1949”.

Kwa kauli hiyo ya Malkia Elizabeth, ulimwengu unaamini kuwa mtoto wake wa kwanza wa kiume Charles, ndiye atakuwa mrithi wa kuongoza jumuiya hiyo kubwa duniani, ambayo ina nchi wanachama takriban 53.

Kwenye mkutano huo Tanzania imewasilishwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, huko jijini London nchini Uingereza.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine