Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama Samia afichua udhaifu wa CCM

Friday , 23rd Mar , 2018

Makamu wa Rais wa Tanzania na  Samia Suluhu Hassan amewata wanachama wa CCM Kisiwani Pemba kuwa kitu kimoja kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2020 ili waweze kunyakua majimbo mengi.

Mh. Samia ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na wanachama wa chama hicho Jimbo la Ole, Wilaya ya Chakechake baada ya kuweka jiwe la msingi la tawi la CCM, amesema kitendo cha wanachama wa chama hicho kutokuwa na furaha katika kisiwa hicho ni miongoni mwa sababu zinazowafanya washindwe kujipanga na hatimaye chama cha upinzani kushinda katika majimbo yote.

Amesema anajua ndani ya CCM wapo baadhi ya watu hawana hamasa, jambo ambalo linaonyesha ni kama chama hicho hakipo kwenye jimbo hilo na maeneo mengine ya Pemba na kusahau kuwa CCM ndicho chama pekee kinachoongoza Serikali.

Mama Samia amebainisha kuwa, kuna baadhi ya wanachama wamekuwa wakila kiapo cha kukilinda chama, lakini kinyume chake hushindwa kutekeleza majukumu yao kutokana na kile alichokiita kuwa ni woga usiokuwa na tija. “Ni lazima vijana wa CCM mjenge ujasiri na uthubutu"

Pamoja na hayo, amewataka wana CCM kisiwani humo kuacha tabia ya kuwatenga wanachama wa vyama vya upinzani, badala yake wawashawishi ili wajiunge kwenye chama chao alichokitaja kuwa ni bora zaidi na chenye kujali masilahi ya wananchi wote.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine