Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mavunde awataka vijana kuchapa kazi kujikwamua

Monday , 1st Aug , 2016

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, vijana na Ajira, Anthony Mavunde,amewataka vijana nchi kuachana tabia ya kutopenda kufanyakazi na badala yake wafanye kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo.

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, vijana na Ajira, Anthony Mavunde.

Mhe. Mavunde amesema hayo Mjini Lindi, wakati wa mahafali ya kwanza ya mradi wa uwezeshaji vijana kiuchumi kwa vijana wanaoishi katika mazingira magumu na hatarishi katika manispaa ya Lindi.

Naibu Waziri huyo amesema kuwa wanapaswa kutumia fursa kama hizo za mafunzo ya ujasiriamali ili kujikwamua kiuchumi huku akiwataka vijana kuacha kukataa tamaa wakati wakiwa kwenye harakati za utafutaji.

Kwa upande wake Meneja wa mradi huo Simon Ndembeka, amesema lengo la mradi huo ni kuondoa hali ya umasikini kwa vijana ambao wamezingirwa na hali ngumu na wanaishi katika mazingira hatarishi ya kuweza kufanya uhalifu au kuingia katika matumizi ya madawa kwa sababu ya kukosa ajira.

Wakizungumza mara baada ya Mahafali hayo baaadhi ya vijana hao 150 waliohitimu mafunzo hayo wameushukuru mradi na kusema umewasaidia kujiwezesha kimaisha na kuanza kujitegemea kwa kutumia biashara walizozianzisha kupitia mradi huo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine