Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge aponzwa na picha ya bastola

Monday , 19th Feb , 2018

Mbunge wa Australia George Robert Christensen amejikuta akikabiliwa na wakati mgumu pamoja na shutuma baada ya kutuma picha kwenye ukurasa wake wa Facebook akiwa na bastola huku akidaiwa kutoa maneno ya kejeli kwa wafuasi wa Chama cha Green.

Maneno yanayodaiwa kuambatanishwa na picha hiyo yamesomeka "mnahisi mna bahati,ninyi watu msio na thamani" (“Do you feel lucky, greenie punks?”)

Chama cha Green kimesema kwamba kauli iliyotolewa na mbunge huyo wa Chama cha Conservative ni ya kusikitisha sana na kuainisha kwamba ameitoa kipindi ambacho watu 17 wameuwawa nchini Marekani katika shambulio la bunduki katika shule moja jimboni Florida..

Polisi katika mji huo imesema kwamba inaangalia uwezekano wa ikiwa uchunguzi unaweza kufanyika au la ingawa mbunge huyo amekaririwa akisema kwamba kauli hiyo aliyoituma ilikuwa utani.

Waziri Mkuu wa nchi hiyo  Malcolm Turnbull amesema kauli hiyo iliyotumwa katika ukurasa wa facebook wa mbunge huyo haikuwa sahihi.

Taarifa nyingine kutoka makao makuu ya jeshi la polisi nchini humo imesema inapima kauli hiyo kabla ya kuchukua hatuahuku Wapinzani wa kisiasa wakimshutumu  Christensen kwa kuchochea vurugu.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine