Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Morogoro: Baba abaka na kumlawiti mwanaye

Wednesday , 10th Jul , 2019

Polisi Mkoani Morogoro inamshikilia mwanaume mmoja, anayejulikana kwa jina la Said Kasti (35), kwa kosa la kumbaka na kumlawiti mwanaye wa miaka 2, katika kijiji cha Kimangakene kata ya Kiloka Wilayani Morogoro.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro SACP Wilbroad Mutafungwa.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro SACP Wilbroad Mutafungwa, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lilitokea siku ya Julai 8 majira ya saa 7 Usiku, ambapo mwanaume huyo alipokuwa amelala na binti yake chumbani, na ndipo alipombaka na kisha kumlawiti na kusema kiini cha tukio hilo ni imani za kishirikina.

''Mwanaume huyo alifanya tukio hilo kwa imani kwamba akifanya ivo atapata utajiri, kwahiyo mwanaume huyo sisi tunamshikilia kwa ajili ya uchunguzi, na mtoto huyo kwa vile alikuwa ameumia sehemu mbalimbali za mwili wake, alipelekwa kwenye hospitali ya Mkoa wa Morogoro kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi.

Aidha SACP Mutafungwa akatoa rai kwa wanaume. ''Jeshi la Polisi tunatoa wito kwa wanaume au watu wengine wenye mawazo potofu kama hayo, kwamba utapata utajiri kupita vitendo vya aina hiyo, me naamini ukifanya kazi ndio utaweza kutoka kimaisha na  kupata pesa na mali''

Akina mama pia wametakiwa kuwaangalia watoto, ili kuhakikisha wako katika usimamizi na malezi mazuri ya wazazi, na kuwaepusha na vitendo vya aina hiyo.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali