Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtu tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani

Friday , 18th May , 2018

Mansa Musa ndiye mtu tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani. Kina Bill Gates na matajiri wa dunia unaowajua hajawahi kufika rekodi ya utajiri wake. Mansa Mussa Alikuwa Mfalme Wa Mali kuanzia mwaka 1312 hadi mwaka 1337.

Alizaliwa mwaka 1280 na lipewa jina la "Mansa" likimaanisha mfalme wa wafalme, sababu alitawala ufalme mkubwa Afrika, uliojulikana kama "Malike Empire" au Mali Empire. Babu yake Mansa Musa alikuwa kaka wa Sundiata Keita ambaye alianzisha 'Mali empire'.

Anashikilia rekodi ya kuwa mtu tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani ambapo utajiri wake umetajwa kuwa dola za kimarekani bilioni 400, ambazo kina Bill Gates na hata tajiri namba moja wa sasa Jeff Bezos, hawjahi kufikia, kwa mujibu wa mtandao wa Bloomberg Billionaires Index

Wakati wa utawala wake alikuwa akimiliki dhahabu zenye thamani kubwa. Aliwahi kufanya safari ya kihistoria ambapo alipeleka Hija watu 60,000 kwa mpigo! na kuwasafirisha watumwa 12,000 kwa ajili ya ibada hiyo takatifu kwenye dini ya Kiislam, huku akisafiri kwa kutumia ngamia zaidi ya 100 ambao wamebeba dhahabu zenye kilo zaidi ya 100 kila mmoja.

Imeelezwa kwamba alikuwa na desturi ya kujenga misikiti kila ijumaa, na baadhi ya misikiti aliyoijenga ni pamoja na Msikiti mkubwa wa Djingareyber ambao upo mpaka leo, na umewekwa chini ya Urithi wa dunia na UNESCO.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine