Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwijage awapiga mkwara wenyeviti, madiwani wa CCM.

Monday , 5th Oct , 2015

Makamu mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Severina Mwijage, amewataka wananchi kuwapiga vita na kuto wathamini mabalozi na wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwasababu hawatambuliki kikatiba.

Makamu mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Severina Mwijage

Akizungumza jana mkoani Mtwara katika mikutano yake ya kunadi sera za chama na kuwaombea kura wabunge na madiwani wa halmashauri ya Mtwara vijijini, amesema viongozi hao wamewekwa kwa ajili ya kuuhujumu upinzani na kwamba mwisho wao ni mwezi Oktoba mwaka huu.

Amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi Oktoba 25 kwa ajili ya kupigia kura UKAWA na kutokuwa na wasiwasi wowote juu ya kuibiwa kura na kwamba uwezekano huo haupo kutokana na kuwepo kwa viongozi mbalimbali ambao awali walikuwepo CCM kabla ya kuingia upinzani.

Akizungumzia namna watakavyoweza kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wananchi wa halmashauri ya Mtwara vijijini ambazo ni pamoja na elimu, maji na afya, alisema jambo la kwanza ni kufumua mikataba ya rasilimali za gesi asilia na mafuta ambayo wanaamini ndio imebeba utajiri wa wananchi wa maeneo hayo na Kusini kwa ujumla.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine