Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nape awashawishi wakulima wa Korosho

Monday , 16th Jul , 2018

Mbunge wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye amewasihi wakulima wa korosho wa mikoa ya Kusini kuikubali sheria mpya inayohusu tozo za zao hilo ambayo imepitishwa na Bunge.

Mbunge wa Mtama, Nape Moses Nnauye

Nape amesema hayo akiwahutubia wananchi wa jimbo lake katika mkutano wa hadhara Jumapili, Mei 15 ambapo amewaomba wakulima hao kwa sasa waikubali sheria hiyo na waipe imani serikali kama inavyosema kuwa sheria hiyo ina manufaa kwao.

Katika mkutano huo Nape amesema  "tunaidai serikali waitekeleze sheria yao waliyoipitisha kwa mwaka huu mmoja, baada ya hapo tutafanya tathmini kuona kama sheria yao imetufaa au haikutufaa".

Pia Nape ametumia mkutano huo kuwaondoa hofu wananchi wa jimbo lake juu ya taarifa zilizosambaa kuwa anataka kukihama chama hicho, akisema kuwa hana mpango huo kwa sasa kwa kuwa ana hisa nyingi ndani ya chama hicho.

Juhudi za kuwapata viongozi wa Bodi ya Korosho (CBT) waweze kuzungumzia kwa upande wao zimegonga mwamba kwa kuwa viongozi hao hawakutaka kuonesha ushirikiano.

Mwezi uliopita serikali ilipeleka Bungeni muswada kuhusu kuondolewa kwa tozo ya asilimia 65 ya usafirishaji wa nje wa zao hilo kutoka kwa wakulima kwenda kwenye mfuko wa hazina huku Bodi ya Korosho ikiidai serikali takribani shillingi billion 200, licha ya kupigwa vikali muswada huo ulipitishwa na wabunge na kuwa sheria rasmi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali