Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nazijua shida za Watanzania-Magufuli

Wednesday , 5th Aug , 2015

Mgombea wa Urais kupitia chama cha Mapinduzi Mh. Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa Watanzania wana mategemeo makubwa ambayo endapo watampa ridhaa ya kuendesha nchi atawatumikia kufikia Malengo yao.

Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, akizungumza na wananchi kwenye viwanja vya Ofisi Ndgo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba.

Akihutubia Umati wa Wanachama na Wanachi waliojitokeza kumpokea baada ya kwenda kuchukua fomu ya kuwania nafasi jana, Katika ofisi ndogo za CCM, zilizopo lumumba jijini Dar es Salaam Magufuli amesema shida zote za Watanzania anazifahamu na atazishgulikia.

Magufuli amesema kuwa kila akiangalia haoni Mtu wa kushindana nae na kumshinda katika uchaguzi huo utakaovishirkisha vyama vingi huku yama vikuu vyenye nguvu vinne vikiungana kwa ajili ya kukitoa chama tawala madarakani.

Amesema Serikali ya Awamu ya nne imefanya mambo mengi yakiwemo ya ujezni wa barabara ambazo pia wapinzani wanazitumia kupita hivyo akishinda ataziendeleza.

Akizungumza baada ya kumpokea Mwenyekiti wa chama hicho Dkt. Jakaya Kikwete amewahakikishia wanachama wa chama hicho kuwa wataibuka na ushindi katika uchaguzi mkuu kutokana na sifa nzuri ya Chama hicho.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine